Unaikumbuka hii:Mwanamuziki maarufu aumbuka stajini baada ya gauni kuegea.


Hizi ndio picha za tukio zima lilivyokuwa likiendelea.






  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

Sister wa kanisa auwawa katika sambulio la majambazi Ubungo.




SISTA wa Parokia ya Makoka iliyopo Kibangu, Dar ameuawa na majambazi yaliyokuwa kwenye bodoboda wakati akiingia kwenye gari akitokea dukani eneo la River Side, Ubungo jijini Dar es Salaam hivi punde. Kabla ya kuuawa sista huyo, dereva wake alipigwa risasi mkononi na majambazi hayo.





Mwili wa Sista baada ya kupigwa risasi.


Kidole cha dereva kilichokatwa kwa risasi.


Ganda la risasi likiwa eneo hilo la tukio.


...Dereva akiwasiliana na jamaa zake baada ya kupigwa risasi na sista aliyekuwa naye kuuawa.


Wananchi wakiwa eneo la tukio.




SOURCE: GPL





  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

beib wa word cup hoi.






World cup hii
Demu; Baby kwanini hawa blue(Bosnia) wamefunga 2 na hawa akina Messi(Argentina) wamefunga 1 lkn inaonyesha akina Messi wameshinda mechi?
Jamaa; hawa blue goli 1 wamejifunga
Demu; kwahiyo lzm wafunge goli la huku?
Jamaa; ndiyo
Demu; sasa mbona Messi nae kafunga goli la huku?
Jamaa; halftime huwa wanabadilishana magoli
Demu; aanhaaa kumbe!!!
Demu; halaf baby si ulinambia uwanjani wachezaj mwisho 11?. sasa mbona yule kavaa no 15?
Jamaa; jezi unavaa no yoyote
Demu; sasa baby km golikipa anaruhusiwa kushika mpira na mkono kwanini asikimbie nao mpk mbele kisha akampa Messi akafunga lkn mpk apige huku huku?
Jamaa; mpenzi hebu tulale mpira umeshaisha kesho kazini

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

Mkoani Mtwara:Watoto wachezea bomu .



Jambo lisilo kuwa akawaida katika kata ya Mawala mkoani Mtwara Vijijini watoto walikutwa na msamalia mwema wakichezea bomu la 60mm walilolokota pembezoni na kichaka.



Baada ya msamalia huyo kuona ni kitu chenye umbo linalifanana na bomu aliamua kutoa taarifa polisi kabla ya wanajeshi kuja kulichukua kwa usalama zaidi.



  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

EMMANUEL MBASHA AACHIWA KWA DHAMANA!






Muimbaji wa dini, Emmanuel Mbasha (ambaye ni mme wa Flora Mbasha) anayekabiliwa kwa kesi ya ubakaji, ameachiwa kwa dhamana na kesi itatajwa tena julai 17.
Emmanuel Mbasha amefikishwa leo mahakama ya Ilala na kupatiwa dhamana hiyo baada ya kutimiza masharti yaliyohitajika.

Bwana Emmanuel Mbasha alifikishwa mahakamani hapo kwa shitaka la kumbaka msichana mwenye umri wa miaka 17 anayedaiwa kuwa shemeji yake

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

Watu 20 wauwawa Kenya katika shambulizi la jana usiku



TAKRIBAN watu 20 wameuawa katika shambulizi la pili la usiku katika pwani ya Kenya.
Kundi la wapiganaji la Al Shabaab limekiri kutekeleza shambulizi hilo la pili katika vijiji viwili zaidi na kusema wengi waliouawa ni maafisa wa polisi.
Wapiganaji hao walivamia vijiji viwili karibu na mji wa Mpeketoni, ambao ni eneo la mashambulizi ya kwanza yaliyosababisha mauaji ya watu 48.
Tukio hilo limetokea licha ya maafisa wengi wa polisi kupelekwa katika eneo hilo kufuatia mauaji hayo ya Jumapili.
Kwa mujibu wa BBC, wakazi wa eneo hilo wamelalamikia Serikali kwa kutowapa ulinzi baada ya shambulizi la kwanza na sasa wanaishi kwa hofu.
Serikali imesema wanamgambo wa Al Shabaab walikata mawasiliano ya simu katika eneo hilo kabla ya kutekeleza shambulizi hilo.
Wanamgambo hao wanaohusishwa na kundi la Al Qaeda wamesema wataendelea kufanya mashambulizi nchini Kenya ikiwa serikali haitaondoa wanajeshi wake nchini Somalia.
Shambulizi hilo la vijijini limeonekana kuwa mfumo mpya wa mashambulizi ambayo yamekuwa yakifanywa na Al Shabaab ambao mara nyingi wamekuwa wakilenga maeneo ya mijini hasa miji mikubwa.
Takriban watu 48 waliuawa katika mashambulizi yaliyofanyika usiku wa kuamkia Jumatatu huku watu wenye silaha wakishambulia hoteli na kituo cha polisi pamoja na kuteketeza magari.
Wakati huohuo, Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amesema mauaji yaliyofanywa katika mji wa Mpeketoni hayakufanywa na kundi la wapiganaji wa Kiislamu la Al Shabaab.
Kauli ya Rais Kenyatta inakuja kupitia televisheni siku moja baada ya kundi hilo kukiri kufanya mauaji yaliyotokea Mpeketoni Jumapili usiku.
Rais Kenyatta amesema kuna ushahidi kuonesha kuwa shambulizi hilo lilipangwa vyema na kwamba wanasiasa nao walihusika.

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

Namna ya kuosha uso kwa gharama nafuu bila matumizi ya kemikali.



Usafishaji wa uso ni muhimu sana katika utunzaji wa ngozi aidha kwa mwanamke hata pia mwanaume ili kujihakikisha afya nzuri na muonekano mzuri,leo kupitia Maridadi Agency tutajifunza namna ya kusafisha uso pila kutumia kemikali ya aina yoyote .
na ni njia ambayo ni safi na salama kwa afya yako.

Mahitaji

  1. Maziwa ya mgando
  2. Mlozi na karoti
  3. Maji vuguvugu
  4. Limao
  5. Taulo laini au la pamba

   Njia


1. Chukua maziwa ya mgando na utumie kusafisha uso wako.
2. Scrub kwa kutumia mchanganyiko wa mlozi na karoti au mlozi wa jani la chai.
3. fanya toning na maji vuguvugu yaliyochanganywa na kipande cha limao na weak kidogo katika taulo la pamba na futa uso wako mahali pote kasoro penye tatizo.
4. Tumia ute mweupe ambao utakuwa umemwagia katika taulo lako na kujisugua taratibu.
5. Jisafishe na maji ya vuguvugu
6. Fanya toning tena kama ilivyokuwa katika hatua ya tatu juu
7. Ili kuondoa ukavu wa ngozi, kata matango na yabandike katika ngozi.

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

Bomu lasadikika kulipuka siku ya jana Zanzibar na kuua mtu mmoja.


Mlipuko ambao unasadikika na watu wengi kuwa ni bomu lililotegwa kwa dhumuni maalumu limelipuka siku ya jana na kufanikiwa kukuua mtu mmoja huku akiwaacha watu watatu majeruhi.


Aliyefariki ni mmoja kati ya wahadhiri waliokuja kutoka Tanga na S waliojeruhiwa ni sheikh Hamad pamoja na Sheikh Kassim Mafuta ambae amepata majeraha kidogo.Majeruhi wote wamelazwa hospitali ya Mnazi Mmoja, Zanzibar.


  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

AIBU:BIBI aanguka jijini Mwanza baada ya kushushwa katika Ungo.












Bibi mmoja ambaye jina 
lake halikuweza kufahamika amekutwa katika mazingira ya kutatanisha jijini Mwanza yaliyojenga mitazamo tofauti kutokana na imani za watu wengi
Bibi huyo pindi alipokuwa akiojiwa na baadhi ya watu mbalimbali waliomzunguka alidai kuwa  ametokea mjini Bariadi na alishushwa na wenzake wanne waliokuwa katika safari zao usiku  ndani ya chombo chao cha asili maarufu kama Ungo baada ya kugombana kwa muda mrefu.
\
Bibi huyo alikuwa akionekana eneo maarufu hospitalini sekoutoure akiangaika kwa kuranda huku na kule,aidha mitazamo ya watu tofauti hasa kundi lililodai kuwa bibi huyo ni mwaka na kutaka kujichukulia sheria mkononi ya kutaka kumpiga mawe lilifuta hisia za chombo cha dola ambao walifika muda mchache na kuwatawanya watu wote waliokuwa wamemzunguka. 

Bibi akiwa mpweke baada ya kutawanywa watu wote waliomzunguka








  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

Mwanamuziki wa Injili Happy haukumiwa kifungo cha miezi mitatu.







Habari za Uhakika zilizopo mjini Mbeya zinasema kuwa Mwanamuziki wa Injili nchini Tanzania anayejulikana kwa jina la Happy Kamili anayetamba sana na wimbo wake "Mpango Wa Mungu" na "Jina Kubwa" amehukumiwa kifungo cha Miezi Mitatu Jela bila faini katika Mahakama Ya Mwanzo Mkoani humo kwa Kosa la Kusababisha ajali ya barabarani.






Kesi hiyo iliyokuwa imeanza kusikilizwa mwezi January Mwaka huu, siku ya jana imetolewa hukumu kwa Mwanamuziki huyo kupatikana na hatia ya kusababisha ajali kwa kugonga gari lingine kwa nyuma. Mwanamuziki huyo baada ya Kukiri kutenda kosa hilo mahakamani alipatikana na hatia ya Hakimu alitoa Hukumu ya Miezi Mitatu Jela pasipo kutoa Hukumu Mbadala ya Faini.


  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

Mwanza:Mtoto awa mfugo kama mbuzi kwa mganga wa kienyeji.





MATUKIO ya ukatili dhidi ya watoto, bado yameendelea kushika kasi kwenye maeneo mbalimbali nchini ambapo katika Mkoa wa Simiyu, mtoto mwenye umri wa miaka 17 (jina tunalihifadhi), mkazi wa Bariadi Mjini na mwanafunzi wa Shule ya Msingi Bariadi, amejikuta akifungwa kamba mikononi na miguuni kwa miezi minne nyumbani kwa mganga wa kienyeji.


Mganga huyo amefahamika kwa jina la Mdeli Msanja ambaye aliamua kufanya ukatili huo baada ya wazazi wa mtoto huyo ambaye anamatatizo ya akili, kushindwa kumlipa pesa za matibabu. Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi mkoani humo, Charles Mkumbo, alisema wazazi wa mtoto huyo walikubaliana na mganga huyo kumlipa sh. 260,000 kama mtoto wao atapatiwa matibabu na kupona.

“Pamoja na wazazi kukubaliana na mganga husika, hali ya mtoto haikuweza kubadilika wala kupata unafuu hivyo waliomba kumchukua mtoto wao kitendo ambacho kilipingwa na mganga kwa madai ya kutolipwa pesa zake ambazo walikubaliana,” alisema.


Alisema mganga huyo aliamua kumchukua mtoto huyo na kumfungia chumbani kwake kwa kamba miguuni na mikononi kwa kipindi cha miezi minne akidai pesa zake na kuwapa wakati mgumu wazazi wake. Kutokana na msimamo wa mganga huyo, mama mzazi wa mtoto huyo Malita James (46), alilazimika kwenda kutoa taarifa Kituo cha Polisi Bariadi kuhusu mateso anayoyapata mwanaye kwa mganga.

“Polisi walishirikiana na Dawati la Jinsia kufanya uchunguzi wa tukio hili na walipofika kwa mganga, walimkuta akiwa amemfunga kamba miguuni na mikononi,” alisema Kamanda Mkumbo.

Aliongeza kuwa, polisi walimkamata mganga huyo ambaye hakuwa na kibali cha kutoa tiba za asili, pia alikamatwa na nyara za Serikali ambazo ni pembe moja ya swala na mikia miwili ya nyumbu ambapo uchunguzi ukikamilika atafikishwa mahakamani.

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

Hatari ya mapenzi ya Facebook




Dada mmoja alikutana na kijana mmoja kwa njia ya facebook na wakapendana hapa mtandaoni.
Baada ya kuchati kwa muda mrefu wakaamua waende kuonana na hatimaye wakaona na binti kukaribishwa katika chumba alichopanga kijana huyo.
Alipofika akaanza kuhisi kuwa amefanya maamuzi yasiyo sahihi kwenda pale kwani chumba kilinuka harufu ya pombe na bangi na pia kulikuwa na vijana wengine wapatao wanne wakiwa wamelewa pale.
wakamwingilia kinguvu dada yule na kisha baada ya kugundua kapoteza fahamu wakamtupa nje karibu na barabara na dada alipopata fahamu kwa aibu akaondoka na hakumwambia mtu na kukaa kimya.
Miezi michache baadae akagundua kuwa ni mjamzito na kwa sheria za ile nchi akatakiwa kufukuzwa katika ile jamii kwani amefanya kosa la kuiabisha jamii kupata ujauzito bila muda wake muafaka kufikia.
Siku chache baadae ikaja onekana maiti yake ikiwa pembeni ya mji ule katika nyumba moja akiwa na karatasi mkononi iliyoandikwa:
" Kwa wadogo zangu miliobaki, mitandao ya kijamii ina faida kubwa na hasa zake pia... kamwe msiwe wepesi wa kufanya maamuzi na kuja kuwa wahanga wa matatizo niliyokumbana nayo mimi dada yenu.... Nawapenda sana"
Sala kwa ajili yako
Mitandao ya kijamii itakupa marafiki watao kupanua mawazo ya kuziboresha kazi zako na sio watakao kuharibia kazi zako na maisha yako pia.
Kila rafiki atakuwa hazina ya mafanikio yako nawe utapata busara na hekima ya kuwatambua marafiki feki na wale wenye nia njema

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

Huu ndio muonekano mpya wa soko la Karume.

Baada ya mabanda ya wamachinga wa eneo la Soko la  Karume, maeneo ya Ilala Dar es Salaam yameteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo.
Taarifa zinasema moto huo ulianza kidogo kidogo katika baadhi ya vibanda ambavyo wenye navyo walikuwa hawapo na baadaye kushika kasi na kuteketeza kila kitu kilichopo kwenye eneo hilo

Hizi ni picha za muonekano mpya wa soko hilo mapema asubuhi hii baada ya kuteketezwa kwa moto.


  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

RATIBA MECHI ZA KUMBE LA DUNIA BRAZIL KWA TIME ZA EAST AFRICA

  
    

Group A Fixture Schedule


Match
Day
Date
Local Time
Team
Team
Venue
1
Thu
Jun 12, 2014
11:00 pm
Brazil
Croatia
Sao Paulo
2
Fri
Jun 13, 2014
07:00 pm
Mexico
Cameroon
Natal
17
Tue
Jun 17, 2014
10:00  pm
Brazil
Mexico
Fortaleza
18
Wed
Jun 18, 2014
00:00  pm
Cameroon
Croatia
Manaus
33
Mon
Jun 23, 2014
11:00   pm
Cameroon
Brazil
Brasilia
34
Mon
Jun 23, 2014
11:00  pm
Croatia
Mexico
Recife


Group B Fixture Schedule


Match
Day
Date
Local Time
Team
Team
Venue
3
Fri
Jun 13, 2014
10:00  pm
Spain
Netherlands
Salvador
4
Fri
Jun 13, 2014
00:00  pm
Chile
Australia
Cuiaba
19
Wed
Jun 18, 2014
10:00  pm
Spain
Chile
Rio De Janeiro
20
Wed
Jun 18, 2014
07:00  pm
Australia
Netherlands
Porto Alegre
35
Mon
Jun 23, 2014
07:00  pm
Australia
Spain
Curitiba
36
Mon
Jun 23, 2014
07:00  pm
Netherlands
Chile
Sao Paulo


Group C Fixture Schedule


Match
Day
Date
Local Time
Team
Team
Venue
5
Sat
Jun 14, 2014
07:00  pm
Colombia
Greece
Belo Horizonte
6
Sat
Jun 14, 2014
04:00 am
Côte d'Ivoire
Japan
Recife
21
Thu
Jun 19, 2014
07:00  pm
Colombia
Côte d'Ivoire
Brasilia
22
Thu
Jun 19, 2014
01:00 am
Japan
Greece
Natal
37
Tue
Jun 24, 2014
10:00  pm
Japan
Colombia
Cuiaba
38
Tue
Jun 24, 2014
11:00  pm
Greece
Côte d'Ivoire
Fortaleza



Group D Fixture Schedule


Match
Day
Date
Local Time
Team
Team
Venue
7
Sat
Jun 14, 2014
10:00 pm
Uruguay
Costa Rica
Fortaleza
8
Sat
Jun 14, 2014
00:00  pm
England
Italy
Manaus
23
Thu
Jun 19, 2014
10:00  pm
Uruguay
England
Sao Paulo
24
Fri
Jun 20, 2014
07:00  pm
Italy
Costa Rica
Recife
39
Tue
Jun 24, 2014
07:00  pm
Italy
Uruguay
Natal
40
Tue
Jun 24, 2014
07:00  pm
Costa Rica
England
Belo Horizonte


Group E Fixture Schedule


Match
Day
Date
Local Time
Team
Team
Venue
9
Sun
Jun 15, 2014
07:00  pm
Switzerland
Ecuador
Brasilia
10
Sun
Jun 15, 2014
10:00  pm
France
Honduras
Porto Alegre
25
Fri
Jun 20, 2014
10:00  pm
Switzerland
France
Salvador
26
Fri
Jun 20, 2014
01:00 am
Honduras
Ecuador
Curitiba
41
Wed
Jun 25, 2014
10:00  pm
Honduras
Switzerland
Manaus
42
Wed
Jun 25, 2014
11:00 pm
Ecuador
France
Rio De Janeiro



Group F Fixture Schedule


Match
Day
Date
Local Time
Team
Team
Venue
11
Sun
Jun 15, 2014
01:00 am
Argentina
Bosnia-Herzegovina
Rio De Janeiro
12
Mon
Jun 16, 2014
10:00 pm
Iran
Nigeria
Curitiba
27
Sat
Jun 21, 2014
07:00 pm
Argentina
Iran
Belo Horizonte
28
Sat
Jun 21, 2014
00:00 pm
Nigeria
Bosnia-Herzegovina
Cuiaba
43
Wed
Jun 25, 2014
07:00  pm
Nigeria
Argentina
Porto Alegre
44
Wed
Jun 25, 2014
07:00 pm
Bosnia-Herzegovina
Iran
Salvador


Group G Fixture Schedule


Match
Day
Date
Local Time
Team
Team
Venue
13
Mon
Jun 16, 2014
07:00 pm
Germany
Portugal
Salvador
14
Mon
Jun 16, 2014
01:00 am
Ghana
USA
Natal
29
Sat
Jun 21, 2014
10:00 pm
Germany
Ghana
Fortaleza
30
Sun
Jun 22, 2014
00:00 pm
USA
Portugal
Manaus
45
Thu
Jun 26, 2014
07:00 pm
USA
Germany
Recife
46
Thu
Jun 26, 2014
07:00 pm
Portugal
Ghana
Brasilia



Group H Fixture Schedule


Match
Day
Date
Local Time
Team
Team
Venue
15
Tue
Jun 17, 2014
07:00 pm
Belgium
Algeria
Belo Horizonte
16
Tue
Jun 17, 2014
00:00 pm
Russia
Korea Republic
Cuiaba
31
Sun
Jun 22, 2014
07:00 pm
Belgium
Russia
Rio De Janeiro
32
Sun
Jun 22, 2014
10:00 pm
Korea Republic
Algeria
Porto Alegre
47
Thu
Jun 26, 2014
11:00 pm
Korea Republic
Belgium
Sao Paulo
48
Thu
Jun 26, 2014
11:00 pm
Algeria
Russia
Curitiba


Knockout phase - Round of 16


Match
Day
Date
Local Time
Team
Team
Venue
49
Sat
Jun 28, 2014
07:00 pm
Winner Group A
Runner-up Group B
Estádio Mineirão, Belo Horizonte
50
Sat
Jun 28, 2014
11:00 pm
Winner Group C
Runner-up Group D
Estádio do Maracanã, Rio de Janeiro
51
Sun
Jun 29, 2014
07:00 pm
Winner Group B
Runner-up Group A
Estádio Castelão, Fortaleza
52
Sun
Jun 29, 2014
11:00 pm
Winner Group D
Runner-up Group C
Arena Pernambuco, Recife
53
Mon
Jun 30, 2014
07:00 pm
Winner Group E
Runner-up Group F
Estádio Nacional Mané Garrincha, Brasília
54
Mon
Jun 30, 2014
11:00 pm
Winner Group G
Runner-up Group H
Estádio Beira-Rio, Porto Alegre
55
Tue
Jul 1, 2014
07:00 pm
Winner Group F
Runner-up Group E
Arena de São Paulo, São Paulo
56
Tue
Jul 1, 2014
11:00 pm
Winner Group H
Runner-up Group G
Arena Fonte Nova, Salvador




Quarter Finals


57
Fri
Jul 4, 2014
07:00 pm
Winner Match 49
Winner Match 50
Estádio Castelão, Fortaleza
58
Fri
Jul 4, 2014
11:00 pm
Winner Match 53
Winner Match 54
Estádio do Maracanã, Rio de Janeiro
59
Sat
Jul 5, 2014
07:00 pm
Winner Match 55
Winner Match 56
Estádio Nacional Mané Garrincha, Brasília
60
Sat
Jul 5, 2014
11:00 pm
Winner Match 51
Winner Match 52
Arena Fonte Nova, Salvador


Semi Finals


61
Tue
Jul 8, 2014
11:00 pm
Winner Match 57
Winner Match 58
Estádio Mineirão, Belo Horizonte
62
Wed
Jul 9, 2014
11:00 pm
Winner Match 59
Winner Match 60
Arena de São Paulo, São Paulo


Third place match


63
Sat
Jul 12, 2014
11:00 pm
Loser Match 61
Loser Match 62
Estádio Nacional Mané Garrincha, Brasília


Final


64
Sun
Jul 13, 2014
10:00 pm
Winner Match 61
Winner Match 62
Estádio do Maracanã, Rio de Janeiro


  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS